Processing...

News Room

KCMC YATATHIMINI MPANGO MKAKATI 2022-2026

KCMC YATATHIMINI MPANGO MKAKATI 2022-2026
KCMC YATATHIMINI MPANGO MKAKATI 2022-2026
KCMC YATATHIMINI MPANGO MKAKATI 2022-2026
+3 More Images
KCMC YATATHIMINI MPANGO MKAKATI 2022-2026
KCMC YATATHIMINI MPANGO MKAKATI 2022-2026
Leo, tarehe 6 Agosti 2026, Uongozi wa KKKT Makao Makuu imefanya kikao na Uongozi wa Shirika la Msamaria Mwema - GSF/KCMC. Kikao hiki kilikuwa na lengo la kutathmini utekelezaji wa Mpango Mkakati wa KKKT wa mwaka 2022–2026. Kikao hicho kimeongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa KKKT – Mipango na Maendeleo, Bw. Saimon Daffi (wakwanza kushoto), ambapo pamoja na mambo mengine, kimejadili mafanikio, changamoto na hatua zilizofikiwa katika utekelezaji wa mpango huo, pamoja na maeneo ya kuimarisha ili kufikia malengo yaliyowekwa.

Related Stories

KCMC NA TVOH YAWAANGAZIA WENYE JINSI TAT
2026-09-08 00:00:00

KCMC NA TVOH YAWAANGAZIA WENYE JINSI TAT

READ ARTICLE
KCMC, EGPAF ZAJADILI AFYA YANGU
2026-09-07 00:00:00

KCMC, EGPAF ZAJADILI AFYA YANGU

READ ARTICLE
BANDA LA KCMC LAVUTIA WAGENI ARUSHA
2026-08-27 00:00:00

BANDA LA KCMC LAVUTIA WAGENI ARUSHA

READ ARTICLE

Join the Discussion

× Preview
🫀
CHANGIA JENGO LA MOYO
Saidia Ujenzi wa Cardiovascular Centre