Processing...

2026-04-24 00:00:00 EFM 5 min read

KCMC NA EFM PAMOJA

Research data
Research data
Research data
Research data
Research data
Leo tarehe 24/04/2026 Uongozi wa Hospitali ya KCMC ukiongozwa na Prof. Gileard Masenga pamoja na Uongozi wa Tanlink Health Care Foundation ukiongozwa na Dkt. Siraj Mtulia wamekutana na Uongozi wa E-fm na TV-E lengo ni kuwafikia watanzania wote ili waweze kushiriki katika uchangiaji wa ujenzi wa Taasisi ya Moyo KCMC.

Related News

Medical technology
2026-04-24 00:00:00

KCMC 'Ni mazungumzo na wananchi'.

Read Story →
Medical technology
2026-04-24 00:00:00

KCMC NA EFM PAMOJA

Read Story →
Medical technology
2026-04-23 00:00:00

NYUMA YA TIBA WAPO HALOTEL/HALOPESA

Read Story →

Leave a Comment

🫀 CHANGIA JENGO LA MOYO