2026-04-24 00:00:00
•
EFM
•
5 min read
KCMC NA EFM PAMOJA
Leo tarehe 24/04/2026 Uongozi wa Hospitali ya KCMC ukiongozwa na Prof. Gileard Masenga pamoja na Uongozi wa Tanlink Health Care Foundation ukiongozwa na Dkt. Siraj Mtulia wamekutana na Uongozi wa E-fm na TV-E lengo ni kuwafikia watanzania wote ili waweze kushiriki katika uchangiaji wa ujenzi wa Taasisi ya Moyo KCMC.
Related News