Processing...

News Room

WAZIRI MKUU AZURU KCMC

WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
+7 More Images
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo amefanya ziara katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini - KCMC, kwa lengo la kuwajulia hali wagonjwa mbalimbali wanaoendelea kupatiwa matibabu hapa hospitalini. Katika ziara hiyo, Waziri Mkuu alipata fursa ya kuzungumza na wagonjwa pamoja na ndugu zao. Miongoni mwa wagonjwa aliowatembelea ni Mbunge wa Moshi Mjini Ibrahim Shayo, ambaye amelazwa hapa KCMC kufuatia ajali ya gari iliyotokea februari 18, 2026

Related Stories

JUMUIYA YA WANAWAKE KATIKA NYUKLIA TANZANIA YAZURU KCMC
2026-08-13 00:00:00

JUMUIYA YA WANAWAKE KATIKA NYUKLIA TANZANIA YAZURU KCMC

READ ARTICLE
SNAKE ANTIVENOM ZAFIKA KCMC
2026-08-13 00:00:00

SNAKE ANTIVENOM ZAFIKA KCMC

READ ARTICLE
WATAALAMU WA DIALYSIS WAHITIMU KCMC
2026-08-13 00:00:00

WATAALAMU WA DIALYSIS WAHITIMU KCMC

READ ARTICLE

Join the Discussion

× Preview
🫀
CHANGIA JENGO LA MOYO
Saidia Ujenzi wa Cardiovascular Centre