Processing...

20-02-2026 13:51:01 KCMC 1 min read

WAZIRI MKUU AZURU KCMC

News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo amefanya ziara katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini - KCMC, kwa lengo la kuwajulia hali wagonjwa mbalimbali wanaoendelea kupatiwa matibabu hapa hospitalini. Katika ziara hiyo, Waziri Mkuu alipata fursa ya kuzungumza na wagonjwa pamoja na ndugu zao. Miongoni mwa wagonjwa aliowatembelea ni Mbunge wa Moshi Mjini Ibrahim Shayo, ambaye amelazwa hapa KCMC kufuatia ajali ya gari iliyotokea februari 18, 2026
Share:

Related News

Medical technology
2026-02-28 00:00:00

KCMC NA REKODI NYINGINE: MICHEZO 6 YASHNDA MICHEZO 5

Read Story →
Medical technology
2026-02-21 00:00:00

WATU 6 WANUFAIKA NA NJIA ZA KISASA ZA KUTIBU VIVIMBE VYA UBONGO

Read Story →
Medical technology
2026-02-20 00:00:00

WAZIRI MKUU AZURU KCMC

Read Story →

Leave a Comment