Processing...

News Room

WAZIRI MKUU AZURU KCMC

WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
+7 More Images
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo amefanya ziara katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini - KCMC, kwa lengo la kuwajulia hali wagonjwa mbalimbali wanaoendelea kupatiwa matibabu hapa hospitalini. Katika ziara hiyo, Waziri Mkuu alipata fursa ya kuzungumza na wagonjwa pamoja na ndugu zao. Miongoni mwa wagonjwa aliowatembelea ni Mbunge wa Moshi Mjini Ibrahim Shayo, ambaye amelazwa hapa KCMC kufuatia ajali ya gari iliyotokea februari 18, 2026

Related Stories

MASHUJAA WA SARATANI MTAMBUKA WAKUTANA KCMC
2026-07-28 00:00:00

MASHUJAA WA SARATANI MTAMBUKA WAKUTANA KCMC

READ ARTICLE
MARADI WA THEATER WAPEWA BARAKA NA MWENGE
2026-07-02 00:00:00

MARADI WA THEATER WAPEWA BARAKA NA MWENGE

READ ARTICLE
KCMC YAAMTUNUKU TUZO YA HESHIMAA
2026-06-24 00:00:00

KCMC YAAMTUNUKU TUZO YA HESHIMAA

READ ARTICLE

Join the Discussion

× Preview
🫀
CHANGIA JENGO LA MOYO
Saidia Ujenzi wa Cardiovascular Centre