Processing...

13-01-2026 07:41:20 TIBA 1 min read

KURUGENZI YA TIBA INAVYOIMARISHA IDARA ZAKE

News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
Mkurugenzi wa Huduma za Tiba - KCMC Dkt. Sarah Urasa wa kwanza mkono wa kulia akiambatana na Maafisa Utumishi na Utawala ameongoza kikao na watumishi wa Idara ya Patholojia kikilenga kujadili na kupanga masuala mbalimbali ya kiutendaji kwa mwaka 2026. Kikao hiki kimeangazia mikakati ya kuboresha utoaji wa huduma za afya, kuimarisha utendaji wa idara pamoja na kuweka vipaumbele vitakavyochangia huduma bora, za kisasa na zenye ufanisi kwa wagonjwa.
Share:

Related News

Medical technology
2026-02-21 00:00:00

WATU 6 WANUFAIKA NA NJIA ZA KISASA ZA KUTIBU VIVIMBE VYA UBONGO

Read Story →
Medical technology
2026-02-20 00:00:00

WAZIRI MKUU AZURU KCMC

Read Story →
Medical technology
2026-02-17 00:00:00

KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA APONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KCMC

Read Story →

Leave a Comment