Processing...

News Room

WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA

WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
+18 More Images
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
WAMALIZA UTUMISHI ULIOTUKUKA
Katika mwendelezo wa Ibada ya Shukrani ya Krismasi iliyofanyika katika Hagai Chapel – KCMC, na kuongozwa na Mhe. Baba Askofu Dkt. Fredrick O. Shoo, uongozi wa KCMC pia ulitumia fursa hiyo adhimu kuwatambua na kuwapongeza watumishi wastaafu 29 kutoka fani mbalimbali za utoaji wa huduma kwa utumishi wao uliotukuka na wa kujitoa kwa miaka mingi. Katika ibada hiyo, watumishi hao wastaafu walitambuliwa hadharani kama ishara ya kuthamini mchango wao mkubwa walioutoa wakati wakihudumu hapa KCMC. Wakati wa kuwatambua, wastaafu hao walipokea zawadi, shukrani na pongezi kutoka kwa uongozi, watumishi na waumini waliokuwepo. Kwa kuwatambua watumishi wastaafu 29, KCMC inaendeleza utamaduni wake wa kuthamini mchango wa kila mtumishi, ikisisitiza kuwa utumishi wa kweli haupimwi kwa muda pekee bali kwa athari chanya inayoachwa kwa wagonjwa, jamii na taasisi kwa ujumla.

Related Stories

MARADI WA THEATER WAPEWA BARAKA NA MWENGE
2026-07-02 00:00:00

MARADI WA THEATER WAPEWA BARAKA NA MWENGE

READ ARTICLE
KCMC YAAMTUNUKU TUZO YA HESHIMAA
2026-06-24 00:00:00

KCMC YAAMTUNUKU TUZO YA HESHIMAA

READ ARTICLE
MHE. RAISI AKIPATIWA MAELEZO KUHUSU VIFAA VYA TIBA MIONZI
2026-06-24 00:00:00

MHE. RAISI AKIPATIWA MAELEZO KUHUSU VIFAA VYA TIBA MIONZI

READ ARTICLE

Join the Discussion

× Preview
🫀
CHANGIA JENGO LA MOYO
Saidia Ujenzi wa Cardiovascular Centre