Processing...

News Room

WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU

WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
+10 More Images
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
Hospitali ya KCMC kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeandaa chai na chakula cha mchana kwa wagonjwa, ndugu wa wagonjwa, wanafunzi pamoja na watumishi wa KCMC, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Sikukuu ya Krismasi hapa KCMC. Hatua hii imelenga kuonesha upendo, mshikamano huku ikiwapa faraja na tabasamu wale wote waliopo hospitalini na wanaokuja kuona ndugu zao katika kipindi hiki cha sikukuu. Katika zoezi hili la kukarimu wagonjwa, ndugu wa wagonjwa, wanafunzi na watumishi marafiki wa KCMC wakiwemo Uchumi Bank, Bank of Africa, Kondiki Milk pamoja na Linda Mushi walishiriki zoezi la ugawaji wa chai na chakula cha mchana. Akizungumza kwa niaba ya ndugu wa wagonjwa, mmoja wa ndugu hao aliipongeza Hospitali ya KCMC kwa kuandaa chai na chakula hicho, akibainisha kuwa msaada huo umepunguza gharama za siku ya leo wakati alipokuja kumtembelea mgonjwa wake.

Related Stories

MARADI WA THEATER WAPEWA BARAKA NA MWENGE
2026-07-02 00:00:00

MARADI WA THEATER WAPEWA BARAKA NA MWENGE

READ ARTICLE
KCMC YAAMTUNUKU TUZO YA HESHIMAA
2026-06-24 00:00:00

KCMC YAAMTUNUKU TUZO YA HESHIMAA

READ ARTICLE
MHE. RAISI AKIPATIWA MAELEZO KUHUSU VIFAA VYA TIBA MIONZI
2026-06-24 00:00:00

MHE. RAISI AKIPATIWA MAELEZO KUHUSU VIFAA VYA TIBA MIONZI

READ ARTICLE

Join the Discussion

× Preview
🫀
CHANGIA JENGO LA MOYO
Saidia Ujenzi wa Cardiovascular Centre