Processing...

20-12-2025 13:31:08 IBADA 1 min read

WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU

News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
News Image
Hospitali ya KCMC kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeandaa chai na chakula cha mchana kwa wagonjwa, ndugu wa wagonjwa, wanafunzi pamoja na watumishi wa KCMC, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Sikukuu ya Krismasi hapa KCMC. Hatua hii imelenga kuonesha upendo, mshikamano huku ikiwapa faraja na tabasamu wale wote waliopo hospitalini na wanaokuja kuona ndugu zao katika kipindi hiki cha sikukuu. Katika zoezi hili la kukarimu wagonjwa, ndugu wa wagonjwa, wanafunzi na watumishi marafiki wa KCMC wakiwemo Uchumi Bank, Bank of Africa, Kondiki Milk pamoja na Linda Mushi walishiriki zoezi la ugawaji wa chai na chakula cha mchana. Akizungumza kwa niaba ya ndugu wa wagonjwa, mmoja wa ndugu hao aliipongeza Hospitali ya KCMC kwa kuandaa chai na chakula hicho, akibainisha kuwa msaada huo umepunguza gharama za siku ya leo wakati alipokuja kumtembelea mgonjwa wake.
Share:

Related News

Medical technology
2026-02-21 00:00:00

WATU 6 WANUFAIKA NA NJIA ZA KISASA ZA KUTIBU VIVIMBE VYA UBONGO

Read Story →
Medical technology
2026-02-20 00:00:00

WAZIRI MKUU AZURU KCMC

Read Story →
Medical technology
2026-02-17 00:00:00

KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA APONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KCMC

Read Story →

Leave a Comment