20-02-2026 13:51:01
•
KCMC
•
1 min read
WAZIRI MKUU ZURU KCMC
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo amefanya ziara katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini - KCMC, kwa lengo la kuwajulia hali wagonjwa mbalimbali wanaoendelea kupatiwa matibabu hapa hospitalini.
Katika ziara hiyo, Waziri Mkuu alipata fursa ya kuzungumza na wagonjwa pamoja na ndugu zao. Miongoni mwa wagonjwa aliowatembelea ni Mbunge wa Moshi Mjini Ibrahim Shayo, ambaye amelazwa hapa KCMC kufuatia ajali ya gari iliyotokea februari 18, 2026
Related News