Processing...

News Room

WAZIRI MKUU AZURU KCMC

WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
+7 More Images
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
WAZIRI MKUU AZURU KCMC
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo amefanya ziara katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini - KCMC, kwa lengo la kuwajulia hali wagonjwa mbalimbali wanaoendelea kupatiwa matibabu hapa hospitalini. Katika ziara hiyo, Waziri Mkuu alipata fursa ya kuzungumza na wagonjwa pamoja na ndugu zao. Miongoni mwa wagonjwa aliowatembelea ni Mbunge wa Moshi Mjini Ibrahim Shayo, ambaye amelazwa hapa KCMC kufuatia ajali ya gari iliyotokea februari 18, 2026

Related Stories

TANGA KUSHIRIKI UJENZI
2026-04-27 00:00:00

TANGA KUSHIRIKI UJENZI

READ ARTICLE
KCMC 'Ni mazungumzo na wananchi'.
2026-04-24 00:00:00

KCMC 'Ni mazungumzo na wananchi'.

READ ARTICLE
KCMC NA EFM PAMOJA
2026-04-24 00:00:00

KCMC NA EFM PAMOJA

READ ARTICLE

Join the Discussion

× Preview
🫀 CHANGIA JENGO LA MOYO