KCMC TUPO AICC
Viongozi na Wanachama wa TANNA – Tawi la KCMC wamewasili katika ukumbi wa Arusha International Conference Centre (AICC) kwa ajili ya kushiriki Kongamano la Wauguzi linaloanza rasmi leo tarehe 09 Mei 2026.
Kongamano hili linaunganisha wauguzi kutoka maeneo mbalimbali kwa ajili ya kujifunza, kubadilishana uzoefu na kuendelea kuimarisha huduma bora za afya kwa jamii.
Related Stories