Processing...

2026-01-13 00:00:00 TIBA 5 min read

KURUGENZI YA TIBA INAVYOIMARISHA IDARA ZAKE

Research data
Research data
Research data
Research data
Research data
Research data
Research data
Research data
Research data
Research data
Mkurugenzi wa Huduma za Tiba - KCMC Dkt. Sarah Urasa wa kwanza mkono wa kulia akiambatana na Maafisa Utumishi na Utawala ameongoza kikao na watumishi wa Idara ya Patholojia kikilenga kujadili na kupanga masuala mbalimbali ya kiutendaji kwa mwaka 2026. Kikao hiki kimeangazia mikakati ya kuboresha utoaji wa huduma za afya, kuimarisha utendaji wa idara pamoja na kuweka vipaumbele vitakavyochangia huduma bora, za kisasa na zenye ufanisi kwa wagonjwa.

Related News

Medical technology
2026-01-13 00:00:00

KURUGENZI YA TIBA INAVYOIMARISHA IDARA ZAKE

Read Story →
Medical technology
2026-01-13 00:00:00

KCMC NA AKILI MNEMBA (AI)

Read Story →
Medical technology
2025-12-20 00:00:00

WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU

Read Story →

Leave a Comment