Processing...

News Room

WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU

WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
+10 More Images
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
Hospitali ya KCMC kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeandaa chai na chakula cha mchana kwa wagonjwa, ndugu wa wagonjwa, wanafunzi pamoja na watumishi wa KCMC, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Sikukuu ya Krismasi hapa KCMC. Hatua hii imelenga kuonesha upendo, mshikamano huku ikiwapa faraja na tabasamu wale wote waliopo hospitalini na wanaokuja kuona ndugu zao katika kipindi hiki cha sikukuu. Katika zoezi hili la kukarimu wagonjwa, ndugu wa wagonjwa, wanafunzi na watumishi marafiki wa KCMC wakiwemo Uchumi Bank, Bank of Africa, Kondiki Milk pamoja na Linda Mushi walishiriki zoezi la ugawaji wa chai na chakula cha mchana. Akizungumza kwa niaba ya ndugu wa wagonjwa, mmoja wa ndugu hao aliipongeza Hospitali ya KCMC kwa kuandaa chai na chakula hicho, akibainisha kuwa msaada huo umepunguza gharama za siku ya leo wakati alipokuja kumtembelea mgonjwa wake.

Related Stories

TANGA KUSHIRIKI UJENZI
2026-04-27 00:00:00

TANGA KUSHIRIKI UJENZI

READ ARTICLE
KCMC 'Ni mazungumzo na wananchi'.
2026-04-24 00:00:00

KCMC 'Ni mazungumzo na wananchi'.

READ ARTICLE
KCMC NA EFM PAMOJA
2026-04-24 00:00:00

KCMC NA EFM PAMOJA

READ ARTICLE

Join the Discussion

× Preview
🫀 CHANGIA JENGO LA MOYO